Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป YAMEBAKI MASAA KUELEKEA DABI YA KARIAKOO
    KITAIFA

    YAMEBAKI MASAA KUELEKEA DABI YA KARIAKOO

    By AdminSeptember 15, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Yamebaki masaa kabla ya mchezo wa Kariakoo Dabi kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Septemba 16 2025 ikiwa ni mchezo wa Ngao ya Jamii.

    Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 Yanga SC walitwaa taji hilo kwa ushindi kwenye mchezo wa fainali mbele ya Azam FC katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa.

    Simba SC iligotea kuwa mshindi wa tatu kwa kuwa mashindano hayo yaliendeshwa kwa kuanzia hatua ya nusu fainali.Kwenye hatua ya nusu fainali Simba SC ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Yanga SC bao la ushindi likifungwa na Maxi Nzengeli.

    Tayari viingilio vimetangazwa na Shirikisho la Soka Tanzania kuelekea kwenye mchezo huo na Septemba 15 2025 kutakuwa na maandalizi ya mwisho kwa timu zote mbili Yanga SC na Simba SC ambapo mkutano wa benchi la ufundi unatarajiwa kufanyika saa 5:00 asubuhi Uwanja wa Mkapa.

    Mzunguko kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi ni 5,000 huku safari hii kukiwa na tiketi za Platinum ambazo kiingilio chake ni 300,000, VIP A ni 100,000, VIP B ni 30,000, VIP C 20,000 na Orange ni 15,000.

    Simba SC Yanga SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleJEAN AHOUA AINGIA KWENYE MTIHANI MWINGINE SIMBA
    Next Article FADLU ASEMA YANGA NDIO WANA HOFU KULIKO SIMBA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.