Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » WAYNE ROONEY: SIMCHUKII RONALDO, LAKINI MESSI NI BORA
    KIMATAIFA

    WAYNE ROONEY: SIMCHUKII RONALDO, LAKINI MESSI NI BORA

    By AdminSeptember 25, 20251 Comment1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Gwiji wa Manchester United Wayne Rooney hajawahi kuona haya kueleza hisia zake.
    Mchezaji huyo wa zamani na kocha bado anaamini kuwa Lionel Messi ndiye mchezaji bora zaidi kuliko Cristiano Ronaldo huku akisisitiza kwamba hamchukii fowadi huyo anayekipiga na klabu ya Al Nassr.

    Akiongea kwenye podcast ya Rio Ferdinand Rooney alisema;

    “Watu wanadhani namchukia! Nampenda! Ni mkali sana na anafanya maajabu. Sidhani kama watu wanatambua jinsi mimi na yeye tulivyokuwa karibu.”

    “Mimi napendelea jinsi Messi anavyocheza, ndio hivyo, wewe unaweza kumpenda Cristiano na mwingine akampenda Messi” akamalizia Rooney. [ez-toc][ez-toc]

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleLEO SIMBA SC KUKICHAPA NA FOUNTAIN GATE KWA MKAPA
    Next Article HARRY KANE HUENDA AKAHAMIA MAN UNITED

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    View 1 Comment

    1 Comment

    1. Goba jr on September 25, 2025 18:19

      Comment: hata kwa upande wangu mess ni bora wa mda wte got.

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.