Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป WAJUE WAPINZANI WA SIMBA MECHI INAYOFUATA CAF
    KITAIFA

    WAJUE WAPINZANI WA SIMBA MECHI INAYOFUATA CAF

    By AdminSeptember 30, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    simba
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Simba Baada ya Kumaliza Mechi ya awali ya CAF Champions League na kumaliza wakiwa na ushindi wa magoli mawili Moja la Ugenini na lingine Nyumbani, Kwa sasa Mchezo unaofwata ni dhidi ya Nsingizini Hotspurs kutokea Eswatini, Mchezo ambao unatarajiwa kuchezwa 17 Oktoba 2025 katika mkondo wa kwanza, Simba wakianzia ugenini.

    Nsingizini Hotspur wameingia katika hatua hii baada ya kumuondoa Simba Bhora kutokea Zimbwabe kwa mikwaju ya penati baada ya mechi zote mbili kumalizika kwa magoli sawa 1:1 ambapo mechi ya kwanza Nsingizini walianzia ugenini na wakapokea kichapo cha goli moja na mchezo wa arudiano wakiwa nyumbani walifunga goli moja ndio mchezo ukaenda katika matuta.

    TAZAMA UCHAMBUZI WOTE HAPA CHINI

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleHAYA HAPA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 30, 2025
    Next Article MOURINHO ATANGAZA VITA KALI DHIDI YA CHELSEA LEO

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.