Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป VILABU VYA TANZANIA VYAANZA NA MOTO MECHI ZA KIMATAIFA
    KIMATAIFA

    VILABU VYA TANZANIA VYAANZA NA MOTO MECHI ZA KIMATAIFA

    By AdminSeptember 21, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    tanzania
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL), Simba SC ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Gaborone United ya Botswana kwenye mchezo uliopigwa mjini Gaborone. Bao pekee la mchezo huo lilifungwa dakika ya 15 na Mpanzu, na kuwapa Wekundu wa Msimbazi faida kubwa kuelekea mchezo wa marudiano jijini Dar es Salaam.

    Kwa upande mwingine, kwenye Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC), Singida Black Stars walionyesha uimara wao baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Rayon Sports ya Rwanda. Bao la ushindi lilipachikwa wavuni na Serge Tchakei dakika ya 23 na kuiweka Singida katika nafasi nzuri ya kusonga mbele.

    Ushindi huo unakuja siku chache baada ya mabingwa wa Tanzania, Yanga SC, kuilaza Williete SC ya Angola kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika, huku Azam FC nao wakipata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya El Merriekh Bentiu ya Sudan Kusini kwenye CAFCC.

    Kwa matokeo haya, vilabu vya Tanzania vimefanikiwa kusajili ushindi kwenye michezo yote minne ya wiki hii, jambo linaloleta matumaini makubwa kwa mashabiki na kuimarisha taswira ya soka la nchi hiyo katika ngazi ya kimataifa.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMAJIBU KUHUSU USHINDI WA SIMBA UGENINI KUWA NI BAHATI
    Next Article Majina ya Waliochaguliwa Kusimamia Uchaguzi Temeke 2025

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.