Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » UKWELI WA ISHU YA YANGA KUACHANA NA KOCHA FOLZ
    KITAIFA

    UKWELI WA ISHU YA YANGA KUACHANA NA KOCHA FOLZ

    By AdminSeptember 29, 2025No Comments2 Mins Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Cv ya Romain Folz Kocha Mpya wa Yanga 2025/2026
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    WAKATI tetesi zikieleza kuwa mabosi wa Yanga SC huenda wakaachana na Kocha Mkuu, Romain Folz ambaye amekiongoza kikosi hicho kutwaa taji la Ngao ya Jamii, Legend katika masuala ya michezo Tanzania Saleh Ally Jembe amehoji maswali mazito.

    Jembe amebainisha kuwa tetesi hizo haoni kama zina mashiko kutokana na sababu ambazo zinatajwa kutoeleweka kwani hakuna kitu ambacho hajakifanya kocha Folz.

    “Ikiwa utasema kwamba Yanga SC wanataka kumuacha Folz inabidi unaiambie kwa nini anaachwa kwa sasa? Ukiangalia ameongoza mechi tano na hajafungwa.

    “Mchezo wa kirafiki, mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Simba SC ambao ulikuwa na ushindani mkubwa. ukiachana na hilo kuna mchezo wa kimataifa Ligi ya Mabingwa Afrika ameshinda mechi zote mbili.

    “Kocha aliyepata ushindi wa jumla ya mabao 5-0 kimataifa unataka umfukuze kwa sababu ipi? Ina maana makocha wote ambao wamepata matokeo tofauti na Folz nao wafukuzwe? Kuna namna ambayo ipo kuhusu uchezeji naona wengi watakuwa hawajui.

    “Tangu zamani Yanga SC imekuwa na aina ya mchezo wa kutafuta ushindi yaani ni mpira wa mbio kisha wao wanatafuta matokeo leo hii useme wanacheza vibaya wamfukuze kocha sijui kama itakuwa hivyo lakini tusubiri na tuone,”.

    Yanga SC Septemba 30 2025 itakuwa na mchezo wa ligi ya NBC dhidi ya Mbeya City unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMWAMUZI WA TANZANIA KUONGOZA MICHEZO YA KOMBE LA DUNIA
    Next Article TAKWIMU ZA KELVIN JOHN HUKO DENMARK

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.