Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » TETESI ZA SOKA ULAYA LEO IJUMAA 15-08-2025
    KIMATAIFA

    TETESI ZA SOKA ULAYA LEO IJUMAA 15-08-2025

    By AdminAugust 15, 2025No Comments2 Mins Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Manchester United wanapanga mpango wa pauni milioni 50 kumnunua kiungo wa kati wa Sporting na Denmark Morten Hjulmand, 26, iwapo watamkosa mchezaji wa kimataifa wa Cameroon mwenye umri wa miaka 21 Carlos Baleba. (Sun)

    Tottenham wana imani kwamba wameweka pamoja dili la Eberechi Eze, 27, ambalo litawaridhisha Crystal Palace , ambao wanamthamini kiungo wao wa kati wa England kwa pauni milioni 68. (Team Talk)

    Fulham wanaonyesha nia ya kumnunua mshambuliaji wa Manchester United na Denmark, Rasmus Hojlund, huku AC Milan pia wakifuatilia mpango wa kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22. (Mirror)

    Chelsea wanapiga hatua katika juhudi zao za kumnunua Alejandro Garnacho, 21, kutoka Manchester United na wanaamini kwamba £35m ni bei nzuri kwa winga huyo wa Argentina. (Team Talk)

    Arsenal wako tayari kufikiria ofa kwa mlinzi wa kushoto wa Ukraine Oleksandr Zinchenko, 28, huku Porto , Fenerbahce na Real Betis wakimtaka. (CaughtOffside),

    Borussia Dortmund wameungana na Bayer Leverkusen kuonyesha nia ya kumchukua (Mirror)

    Inter Milan itatoa muda wa wiki nyingine moja kujaribu kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa Nigeria Ademola Lookman, 27, kutoka Atalanta kabla ya kusonga mbele kwa malengo mengine. (Gazzetta dello Sport – in Italian)

    Roma wamemtoa kiungo Manu Kone kwa Inter Milan, ambao wanatafuta makataba wa takriban euro milioni 30 (£26m) kwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa, 24. (Gazzetta dello Sport – in Italian)

    Uhamisho wa Liverpool kwa mlinzi wa Parma Giovanni Leoni unausisha pia timu hiyo ya Serie A kuwa na kipengele cha 10% cha mauzo katika mkataba wa Mtaliano huyo mwenye umri wa miaka 18. (Sky Sports Italia -in Italian)

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleWACHEZAJI WA CHELSEA WATOA BONASI ZAO KWA FAMILIA YA DIOGO JOTA
    Next Article BRIGHTON YAENDELEA KUSHIKILIA BOMBA BALEBA KWENDA MAN UTD

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.