Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » TETESI: ‘AHOUA’ MTAMBO WA MABAO WA SIMBA, KUONDOKA MSIMU HUU
    KITAIFA

    TETESI: ‘AHOUA’ MTAMBO WA MABAO WA SIMBA, KUONDOKA MSIMU HUU

    By AdminJuly 29, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    MTAMBO wa mabao ndani ya kikosi cha Simba SC msimu wa 2024/25 kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC Jean Ahoua huenda akaondoka ndani ya Bongo kwenda kupata changamoto mpya.

    Inaelezwa kuwa kiungo mshambuliaji wa Simba SC raia wa Ivory Coast, Ahoua yupo kwenye rada za Klabu ya JS Kabylie ya nchini Algeria kwa ajili ya msimu ujao wa 2025/26.

    Habari zinaeleza kuwa kuna mazungumzo ambayo yanaendelea kati ya Simba SC na timu ambayo inamuhitaji mchezaji huyo mwenye uwezo mkubwa kutumia mguu wake wa kulia katika kufunga.

    Ahoua ni namba moja kwa utupiaji ndani ya ligi alifunga jumla ya magoli 19 na kutoa pasi 9 za magoli akiwa na uzi wa Simba SC msimu wa 2024/25.

    Ikiwa dili litajibu Ahoua anatarajiwa kuwa mchezaji wa pili kutoka katika Ligi Kuu Tanzania Bara kujiunga na JS Kabylie, mwingine ni kiungo mchezeshaji, Arthur Bada aliyejiunga na kikosi hicho akitokea Singida Black Star.

    Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC hivi karibuni aliweka wazi kuwa kwa mchezaji ambaye watakuwa hawana mpango naye watamuuza ila wakiwa na mpango naye hawatamuuza.

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleRASMI SIMBA KUWEKA KAMBI YAKE MISRI, MAANDALIZI YA MSIMU MPYA 2025/2026
    Next Article FEISAL KUONDOLEWA KWENYE MIPANGO YA SIMBA?

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.