Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » FEISAL KUONDOLEWA KWENYE MIPANGO YA SIMBA?
    KITAIFA

    FEISAL KUONDOLEWA KWENYE MIPANGO YA SIMBA?

    By AdminJuly 29, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    WAKATI jina la kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum likitajwa kuwa miongoni mwa wale ambao wamefuatwa kwenye sanduku la usajili la Simba SC katika kina cha Bahari ya Hindi inaelezwa kuwa jina hilo halipo.

    Taarifa zinaeleza kuwa jina la Fei limekutana na ugumu mzito kuwa ndani ya Simba SC hivyo jitihada zinaendelea kufanyika mpango ukiwa sawa utaratibu utafuatwa ili jina lake liongezwe katika orodha.

    Ikumbukwe kwamba Fei ana mkataba wa mwaka mmoja na Azam FC amekuwa akitajwa kuwa katika rada za Simba SC inayonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids.

    Simba SC leo Julai 29 2025 ina jambo lake katika Hotel ya Johari Rotana ambapo taarifa zinaeleza kuwa kuna mdhamini mpya ambaye atatambulishwa.

    Kampuni moja kubwa inatarajiwa kutambulishwa kuwa mdhamini mkuu wa Simba SC kwa msimu wa 2025/26 huku wakitajwa kusitisha mkataba na moja ya kampuni kubwa iliyokuwa inawadhamini Simba SC.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleTETESI: ‘AHOUA’ MTAMBO WA MABAO WA SIMBA, KUONDOKA MSIMU HUU
    Next Article MAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMATANO TAREHE 30-7-2025

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.