Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » Taifa Stars kuvuna Bilioni 1 wakitwaa ubingwa wa CHAN.
    KITAIFA

    Taifa Stars kuvuna Bilioni 1 wakitwaa ubingwa wa CHAN.

    By AdminJuly 25, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Taifa Stars
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 🇹🇿 Dkt. Samia Suluhu Hassan atatoa kiasi cha shilingi Bilioni 1 Endapo Tanzania ‘Taifa Stars’ itabeba ubingwa wa mashindano ya CHAN 2024 yatakayoanza kutimua vumbi Agosti 2 mwaka huu.

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Palamagamba Kabudi amethibitisha hilo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya michuano hiyo kwenye dimba la Benjamini Mkapa siku ya leo.

    “Naomba niutangazie umma wa Tanzania kuwa katika kuchagiza hamasa kwa Timu yetu ya Taifa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi ya donge nono la fedha Shilingi Bilioni siyo Milioni Bilioni 1 kwa vijana wetu wa Taifa Stars iwapo watafanikiwa kutwaa ubingwa wa mashindano haya ya CHAN” Amesema Waziri Kabudi.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticlePACOME ZOUZOUA KUBAKI YANGA MPAKA 2027
    Next Article Gwiji wa mieleka Duniani Hulk Hogan afariki Dunia.

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.