Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป PACOME ZOUZOUA KUBAKI YANGA MPAKA 2027
    KITAIFA

    PACOME ZOUZOUA KUBAKI YANGA MPAKA 2027

    By AdminJuly 25, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    pacome
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Kiungo mahiri kutoka Ivory Coast, Pacome Zouzoua,inasemekana ameshasaini mkataba mpya na klabu ya Yanga SC siku nyingi zilizopita, muda mfupi tu baada ya fainali ya Kombe la CRDB.

    Kwa mujibu wa taarifa za ndani, mkataba huo wa miaka miwili ulitayarishwa na kusainiwa kipindi hicho, huku mpunga ukishalipwa rasmi fedha ambazo Zouzoua hakupoteza muda kuzitumia kujenga jumba la kifahari kwao Ivory Coast.

    Kwa sasa, kinachosubiriwa ni kurejea kwake Bongo, muda wowote kuanzia sasa, ili aungane na timu katika maandalizi ya msimu mpya (Pre-season).

    Kumbuka, msimu wa 2024/25 ulikuwa wa kifalme kwa Zouzoua, baada ya kutwaa tuzo ya MVP kutokana na kutikisa ligi kwa tuzo nyingi za Mchezaji Bora wa Mechi katika mizunguko mbalimbali.

    Yote yamewekwa wazi Pacome Zouzoua atasalia kuitumikia Yanga SC hadi mwaka 2027. Mashabiki wa Wananchi, mna sababu ya kutabasamu!

    Yanga SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMAGAZETI YA MICHEZO LEO IJUMAA TAREHE 25-7-2025
    Next Article Taifa Stars kuvuna Bilioni 1 wakitwaa ubingwa wa CHAN.

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.