Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » SINTOFAHAMU YAIBUKA KWA KOCHA MPYA WA SIMBA
    KITAIFA

    SINTOFAHAMU YAIBUKA KWA KOCHA MPYA WA SIMBA

    By AdminOctober 4, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    kocha mpya wa simba
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Klabu ya Simba Sc imemtambulisha kocha Dimitri Pantev kama meneja wa timu hiyo huku vyanzo vikieleza kocha mkuu wa Wekundu hao wa Msimbazi atakuwa Selemani Matola kwenye makaratasi ingawa Pandev atakuwa kiongozi na mtendaji mbele ya benchi la ufundi wakati wa michezo.

    Kocha huyo raia wa Bulgaria ana leseni ya UEFA A hivyo hana vigezo ya kusimama kama Kocha Mkuu kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika kwa kuwa anatakiwa kuwa na leseni za CAF A au CAF Pro Licence au UEFA Pro Licence kwa Kocha anayetumia leseni kutoka Mashirikisho mengine nje na CAF.

    Hali hii ilishawahi kutokea huko Azam Fc wakati Yousuf Dabo ambaye alikuwa anatambulika kama Kocha Mkuu alikosa leseni stahiki hivyo Azam Fc wakamteua Bruno Ferry Kocha Mkuu kwenye makaratasi huku Dabo ambaye alitajwa kama Kocha Msaidizi akionekana kama ndiye Kocha kiongozi na mtendaji mbele ya benchi la ufundi wakati wa michezo.

    Hata hivyo, taarifa ya Simba Sc imemtambulisha Pantev kama Meneja wa timu hiyo huku sintofahamu ikizuka juu ya nani hasa atakuwa Kocha Mkuu wa klabu hiyo na ni ipi nafasi ya ya Selemani Matola ambaye awali alitambulishwa kama Kocha wa muda (caretaker) baada ya kuondoka kwa Fadlu Davids?

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleKOCHA ANAETAJWA KUTUA SIMBA AAGWA NA KLABU YAKE RASMI
    Next Article “MUDA WOWOTE CEO WA SIMBA ATAJIUZULU, AMECHOKA KUENDESHWA” – ALLY KAMWE

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.