Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » “MUDA WOWOTE CEO WA SIMBA ATAJIUZULU, AMECHOKA KUENDESHWA” – ALLY KAMWE
    KITAIFA

    “MUDA WOWOTE CEO WA SIMBA ATAJIUZULU, AMECHOKA KUENDESHWA” – ALLY KAMWE

    By AdminOctober 4, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Ally Kamwe amefunguka muda mfupi baada ya aliyekuwa Skauti Mkuu wa Simba kutangaza kujiuzulu nafasi yake.

    Ally Kamwe ameandika ujumbe unaohusishwa kuwa unawalenga watani zao Simba akisisitiza kuwa taarifa alizozipata kupata kwa jasusi wao ni kuwa muda wowote taarifa ya CEO kujiuzulu itatoka.

    “Jasusi wetu Hana Bayaaa.. Jana alisema Kuna Kikao na Leo watu wameanza kujiuzulu mmoja mmoja”

    “Muda wowote Taarifa ya CEO kujiuzulu itatoka .. Wanajaribu kumshauri asiondoke Lakini mpaka asubuhi ya Leo, Bi Dada kashikilia msimamo wake”

    “Hoja ya Dada ni kupelekwa pelekwa kama Ng’ombe bila kushirikishwa.. Viongozi wa Juu wanafanya maamuzi ya Hovyo na ya aibu kwa Klabu, halafu Yeye anapewa lawama. HATAKI TENA” Ameandika Ally Kamwe.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleSINTOFAHAMU YAIBUKA KWA KOCHA MPYA WA SIMBA
    Next Article Majina ya Usaili kusimamia uchaguzi 2025 – Tume ya uchaguzi

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.