Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป SINGIDA BLACK STAR KULIFANYA TAMASHA LA SINGIDA BIG DAY ARUSHA
    KITAIFA

    SINGIDA BLACK STAR KULIFANYA TAMASHA LA SINGIDA BIG DAY ARUSHA

    By AdminAugust 13, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Singida
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Klabu ya Singida Black Stars imetangaza rasmi kuwa tamasha lao la kila mwaka la ‘Singida Big Day’ litafanyika mwaka huu kwa mara ya kwanza jijini Arusha katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, tarehe 6 Septemba 2025.

    Black Stars wanafanya tamasha hilo nje ya Singida ni kufuatia ukarabati unaoendelea katika uwanja wa Airtel Stadium na CCM LITI mkoani Singida pamoja na lengo la kupanua wigo wa mashabiki wa timu hiyo kutoka kanda ya Kaskazini na kuimarisha hadhi ya Singida Black Stars kitaifa.

    Tamasha hilo litafanyika matukio muhimu kama utambulisho wa kikosi kipya cha Singida Black Stars pamoja na ripoti ya usajili wa msimu wa 2025/26 na mechi ya kirafiki kati ya Singida Black Stars na timu ya kimataifa.

    Singida Black Stars
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleISAK KUTOKUICHEZEA TENA NEWCASTLE HATAKAMA AKIKOSA TIMU
    Next Article HUYU HAPA KUULIZWA IKIWA SIMBA SC ITABUMA MSIMU MPYA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.