Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » HUYU HAPA KUULIZWA IKIWA SIMBA SC ITABUMA MSIMU MPYA
    KITAIFA

    HUYU HAPA KUULIZWA IKIWA SIMBA SC ITABUMA MSIMU MPYA

    By AdminAugust 13, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    KUELEKEA msimu mpya wa 2025/26 ni Fadlu Davids, Kocha Mkuu wa Simba SC ameachiwa msala kwenye suala la usajili baada ya kupewa jukumu hilo kuhakikisha kwamba kila kitu anasimamia mwenyewe.

    Simba SC imeweka kambi Misri kwa maandalizi ya msimu mpya unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa huku wakifanya usajili wa wachezaji wapya ikiwa ni Jonathan Sowah aliyekuwa Singida Black Stars, Morice Abraham, Anthony Mligo na kuna wengine wapo kwenye majaribio.

    Kitendo cha mabosi wa Simba SC kubainisha kuwa ambaye anasimamia usajili kwa asilimia 100 ni sawa na kumuachia msala kocha huyo jambo lolote likitokea kwa wachezaji kufeli mzigo ataangushiwa yeye.

    Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kuwa suala la usajili kwa Simba SC lipo mikononi mwa benchi la ufundi.

    “Benchi la ufundi linasimamia suala la usajili kwa kila hatua hivyo kwa wakati huu tumeamua iwe hivyo na kila usajili unaofanyika unafuatiliwa kwa umakini na benchi la ufundi chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids.”

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleSINGIDA BLACK STAR KULIFANYA TAMASHA LA SINGIDA BIG DAY ARUSHA
    Next Article CAF YATOZA KENYA FAINI YA MILIONI 127, YAONYA KUHAMISHIA MECHI NJE

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.