Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » SIMBA YALENGA DODOMA, DERBY SIO KIPAUMBELE
    KITAIFA

    SIMBA YALENGA DODOMA, DERBY SIO KIPAUMBELE

    By AdminFebruary 25, 2026No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    SIMBA SC imeweka wazi kuwa kwa sasa fikra zake ziko kwenye mchezo wa kesho dhidi ya Dodoma Jiji FC, huku Kariakoo Derby dhidi ya Yanga SC ikiwa bado ni suala la baadaye.

    Beki wa Simba, David Kamenta “Duchu”, amesema  kuwa kikosi chake kitapambana kwa nguvu zote katika mchezo wa Dodoma ili kukamilisha kampeni yao ya kupata alama sita katika michezo miwili mfululizo.

    “Tutakamilisha kampeni yetu ya kupata alama sita, tatu tayari tumepata, bado tatu za Dodoma ziko mbele yetu. Baada ya mechi hiyo, tutakaa chini na kuanza kupanga mikakati ya Kariakoo Derby,”  amesema Duchu.

    Simba itashuka dimbani kesho kwenye Uwanja wa Jamhuri, Dodoma, kwa lengo la kuhakikisha wanapata alama tatu muhimu mbele ya wenyeji wao.

    Beki huyo ameongeza kuwa malengo ya timu ni kuhakikisha kila tone la jasho linatumika vizuri, ili kuimarisha heshima ya klabu ndani ya ligi na katika michuano ya kimataifa.

    “Kwa sasa, tunalenga mchezo huu na nguvu zetu zote. Baada ya Dodoma, ndio tutafikiria Kariakoo Derby,” Duchu amesema, akisisitiza umuhimu wa kuzingatia kila hatua kwa kila mchezo.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleBARKER AWEKA WAZI SIRI YA HOFU, KABLA YA DERBY
    Next Article Kikosi cha Simba vs Dodoma Jiji Leo 25/02/2026

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.