Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » SIMBA JOTO LAPAMBA MOTO KUELEKEA MECHI DHIDI YA NSINGIZINI
    KITAIFA

    SIMBA JOTO LAPAMBA MOTO KUELEKEA MECHI DHIDI YA NSINGIZINI

    By AdminOctober 18, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Simba
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Nsingizini Hotspurs vs Simba SC, mchezo unaofuata kwa Simba SC katika anga la kimataifa ikiwa ni CAF Champions League unatarajiwa kuchezwa ugenini.

    Hii ni kete ya kwanza kimataifa kwa Meneja Mkuu wa Simba SC, Dimitar Pantev huku wachezaji wapya wa timu hiyo ikiwa ni Neo Maema, De Reuck wakipewa angalizo kuhakikisha kwamba wanapambana kupata matokeo mazuri.

    Ikumbukwe kwamba mshindi wa jumla katika mchezo huu atakwenda hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

     Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amebainisha kuwa wachezaji wote wana kazi kuelekea mchezo ujao kimataifa kuhakikisha wanaendeleza utamaduni wa timu hiyo kupata matokeo mazuri.

    “Wachezaji wapya baadhi De Reuck na Maema wanaifahamu historia waliyoikuta Simba ya ushiriki wetu wa kimataifa na siyo hao pekee pia wachezaji wengine kama yupo hafahamu umuhimu wa kufuzu makundi lazima atambue na kuendeleza ile historia,”

    Mchezo wa Nsingizini Hotspurs vs Simba SC ni Oktoba 19 2025 na ule wa marudiano ni Simba SC vs Nsingizini Hotspurs, Oktoba 24,2025, kwenye  CAF Champions League.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMWENDO WA KIMYA KIMYA AISEE…SIMBA WASHUSHA MASHINE HII MPYA YA KAZI DAR….
    Next Article AZAM FC YAJAWA MATUMAINI YA KUBADILISHA HISTORIA YA KIMATAIFA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.