Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป RASMI AZIZ KI AMEANZA KAZI NA TIMU YAKE MPYA YA WYDAD
    KIMATAIFA

    RASMI AZIZ KI AMEANZA KAZI NA TIMU YAKE MPYA YA WYDAD

    By AdminMay 26, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    aziz wydad
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    KIUNGO mshambuliaji mpya ndani ya kikosi cha Wydad Casablanca, Aziz Ki tayari ameanza mazoezi na timu hiyo mara baada ya kumtambulisha.

    Ikumbukwe kwamba Ki aliibuka ndani ya timu hiyo akitokea kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi.

    Mchezo wa mwisho akiwa na uzi wa Yanga SC ilikuwa dhidi ya JKT Tanzania ambao ulikuwa ni CRDB Federation Cup hatua ya nusu fainali.

    Kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga baada ya dakika 90 ubao ukasoma Yanga SC 2-0 JKT Tanzania.

    Mei 25 alitambulishwa rasmi ndani ya kikosi cha Wydad Casablanca kiungo huyo mshambuliaji ambaye alikuwa anavaa jezi namba 10 ndani ya kikosi cha Yanga SC inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba 11 kwa ubora Afrika.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleXABI ALONSO RASMI ATAMBULISHWA KUWA KOCHA MKUU WA REAL MADRID
    Next Article BAADA YA KUTOKA MAN U ‘TEN HAG’ ATAMBULISHWA LEVERKUSEN

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.