Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป “NINA NJAA YA KUFANYA JAMBO KUBWA MSIMU HUU” – MBAPPE
    KIMATAIFA

    “NINA NJAA YA KUFANYA JAMBO KUBWA MSIMU HUU” – MBAPPE

    By AdminAugust 6, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Mbappe
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Mshambuliaji wa Real Madrid, Kylian Mbappe amesisitiza kwamba ana njaa ya kupata mafanikio makubwa msimu huu.

    Mbappe ameyasema hayo kupitia chapisho lake kwenye mtandao wake wa Instagram.

    Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 alisema:

    “Msimu mpya. Nina njaa ya kufanya jambo kubwa, Twende sote pamoja, Madridistas. HALA MADRID.”

    Nahodha huyo wa Ufaransa alijiunga na Real Madrid kutoka Paris Saint-Germain mwaka jana.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleSAMATTA ATAMBULISHWA RASMI LIGI KUU YA UFARANSA
    Next Article TAIFA STARS KAMILI KUWAKABILI MAURITANIA KWA MKAPA AGOSTI 6 2025

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.