Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป NAMBA 8 MPYA WA YANGA SC LASSINE ANATAKA KUTEMBEZA 5G
    KITAIFA

    NAMBA 8 MPYA WA YANGA SC LASSINE ANATAKA KUTEMBEZA 5G

    By AdminJuly 26, 20251 Comment1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    LASSINE Kouma kapewa jezi namba 8 ambayo iliwahi kuvaliwa na mastaa wakubwa katika kikosi hicho akiwemo Haruna Niyonzima kiungo aliyekuwa anafanya watu wadhani mpira ni kazi rahisi.

    Kouma mwenye miaka 21 anazima dili la Yanga SC kuiwinda saini ya Feisal Salum wa Azam FC ambaye ana nguvu kubwa katika mguu wake wa kulia.

    Katika Ligi ya Mali alifunga jumla ya mabao 7 na kutoa pasi 6 za mabao alikuwa anakipiga ndani ya Stade Malien ni raia wa Mali.

    Lassine ni namba 8 mpya wa Yanga SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Romain Folz ambaye ni kocha mpya mrithi wa mikoba ya Miloud Hamdi.

    Baada ya utambulisho wake Yanga SC wamebainisha kuwa ambacho anahitaji ni kuona wanaendeleza moto wa kutembeza dozi ya 5G kwenye mechi za ushindani ndani ya uwanja.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleDILI LA FEISAL SALUM GUMU KWELIKWELI, NAMBA SITA KIVUMBI
    Next Article YANGA WAMEAMUA KUSHUSHA VIJANA TU, MOTO UTAWAKA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    View 1 Comment

    1 Comment

    1. Agustino on July 29, 2025 07:37

      Usajili wa ukwel ndani ya yanga

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.