Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป DILI LA FEISAL SALUM GUMU KWELIKWELI, NAMBA SITA KIVUMBI
    KITAIFA

    DILI LA FEISAL SALUM GUMU KWELIKWELI, NAMBA SITA KIVUMBI

    By AdminJuly 26, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    DILI la kiungo wa Azam FC Feisal Salum kuibukia ndani ya kikosi cha Simba SC ni gumu kutokana na mkataba wake uliobaki na gharama za uhamisho ambazo zipo.

    Ilikuwa inaelezwa kuwa Feisal anatajwa kuwa kwenye rada za Simba SC ilianza hivyo tangu dirisha dogo la msimu wa 2024/25.

    Ipo wazi kwamba miongoni mwa viungo wazawa wenye uwezo mkubwa uwanjani, jina la Fei halikosekana kwa kuwa amekuwa kwenye mwendelezo wa ubora wake.

    Msimu wa 2024/25 ni namba moja kwenye kutengeneza pasi za mwisho ambazo alitoa 13 na alifunga mabao manne yote kwa mguu wa kulia.

    Taarifa zinaeleza kuwa kuna ugumu kwa kiungo huyo kuondoka Azam FC na kuibukia Simba SC hivyo Simba SC ina kazi kutafuta namba sita mwingine ambaye hatakuwa Fei Toto.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleRASMI: SIMBA KUTAMBULISHA VIUNGO HAWA KUTOKA MAMELODI
    Next Article NAMBA 8 MPYA WA YANGA SC LASSINE ANATAKA KUTEMBEZA 5G

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.