Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » MIKÊL OBI AUNGA MKONO OKOCHA KUWA RAIS WA SHIRIKISHO LA SOKA NIGERIA
    KIMATAIFA

    MIKÊL OBI AUNGA MKONO OKOCHA KUWA RAIS WA SHIRIKISHO LA SOKA NIGERIA

    By AdminSeptember 13, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Mchezaji wa zamani Nigeria Mikêl Obi ameunga mkono suala la nyota wa zamani wa taifa hilo Jay Jay Okocha kuhitaji kuwa Rais wa shirikisho la soka nchini humo.

    Mikêl Obi “Ninajiunga na watu wa nigeria walio ughaibuni kumtawaza bwana, Austin Jãy Okōcha kama mwenyekiti mpya wa Ñff, nataka turudi nyumbani na kufanyia kazi masuala yetu ya soka kwa ujumla”

    “Tutaleta wawekezaji kuwekeza katika soka letu, kuifanya iwe ya ushindani, kuweka kiwango cha ligi ya taifa, nitakuwa mtu mwenye furaha zaidi kuona bwana Jãy akifanikiwa katika safari hii”

    alisema Mikel kupitia kipindi chake cha mtandaoni Obi one Jumatano tarehe 10 Septemba 2025.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticlePITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 13,2025
    Next Article KOCHA FADLU AFUNGUKA MIPANGO YAKE KWENYE NGAO YA JAMII

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.