Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » MESSI NDIO ALINIFANYA NIWE KOCHA BORA – MOURINHO
    KIMATAIFA

    MESSI NDIO ALINIFANYA NIWE KOCHA BORA – MOURINHO

    By AdminAugust 21, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    José Mourinho amefichua kwamba Lionel Messi alimfanya kuwa kocha bora, akikiri kwamba kukabiliana na Muargentina huyo mara kwa mara kulimsukuma kutafakari upya mbinu zake na kufikia kiwango cha juu zaidi cha soka.

    Mtaalamu huyo wa kireno, alipambana na Messi katika baadhi ya mechi kali katika maisha yake ya soka akiwa kocha wa Inter Milan na Real Madrid.

    Alipoulizwa na Sporty Net ataje mchezaji ambaye amemsaidia kukua, Mourinho alijibu: “Messi, kwa sababu kila nilipocheza dhidi yake alinilazimisha kufikiria sana.”

    Wakati akiwa Inter, kikosi cha Mourinho kiliishinda Barcelona ya Messi kwenye nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa mwaka 2010 na baadaye akiwa Real Madrid, alikabiliana na Messi mara kwa mara katika mechi za El Clasico.

    Akitafakari juu ya mechi hizo, Mourinho aliwahi kukiri kuwa uwepo wa Messi ulibadilisha njia yake ya kucheza mchezo.

     

    “Messi hakuwahi kuichezea timu yangu, lakini alicheza dhidi yangu na amenifanya kuwa kocha bora kwasababu nilijiandaa vizuri kumzuia,” alisema José Mourinho.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleBASII KWISHA MZUNGUKO KESHO FIKA KWA MKAPA TIKETI UTAIKUTA GETINI
    Next Article RAIS SAMIA AWAPA TAIFA STARS MILIONI 200 KABLA YA KUMENYANA NA MOROCCO

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.