Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » Mchezaji aanguka na kufariki Burundi
    KIMATAIFA

    Mchezaji aanguka na kufariki Burundi

    By AdminDecember 22, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Mchezaji aanguka na kufariki Burundi
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Aime Bigiraneza, mchezaji chipukizi wa klabu ya daraja la pili ya Burundi Les Gêpiers du Lac, alianguka uwanjani na afariki dunia juzi tarehe 20 Desemba 2025.

    Kisa hicho kilitokea wakati wa mechi ya ligi dhidi ya Amasipiri Never Give Up FC kwenye Uwanja wa kituo cha Ufundi mjini Bujumbura.

    Bigiraneza inasemekana alianguka uwanjani wakati wa mchezo huo na kukimbizwa hospitalini na baadaye kukutwa na umauti.

    Wakati ripoti rasmi za matibabu zinasubiri, ripoti za mapema kutoka nchini humo zinaonyesha hali ya kutatanisha inayozunguka janga hilo kuwa huenda mchezaji huyo aliagizwa na makocha wake kucheza na sarafu mdomoni, jambo ambalo linashukiwa kuchangia kifo chake, pengine kwa kubanwa au kuzuiwa.

    Tukio hilo limezua taharuki kubwa katika jamii ya soka ya Burundi, huku wadau mbalimbali wa michezo na vyombo mbalimbali wakieleza rambirambi zao.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleNzengeli Afanya Mazoezi na Yanga Princess
    Next Article Hansi Flick afunga sakata la FIFA kumkosea heshima Raphinha

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.