Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » MBOSSO AFUNGUKA ALMANUSURA AFARIKI KISA MAANDALIZI YA SIMBA DAY
    KITAIFA

    MBOSSO AFUNGUKA ALMANUSURA AFARIKI KISA MAANDALIZI YA SIMBA DAY

    By AdminSeptember 15, 2025No Comments2 Mins Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Staa wa muziki wa bongefleva Mbosso Khan amewashukuru mashabiki,wanachama na viongozi wa Simba kwa kupata nafasi ya kutumbuiza kwenye tamasha la Simba Day huku akiweka wazi almanusura apoteze uhai wake.

    “Barua Kwa Uongozi na Mashabiki Wa Simba Sports Club @simbasctanzania

    Asanteni Sana Kwa kuniamini na kwa kunipa nafasi hii adhimu ambayo mngeweza kumpa mtu yoyote mumtakae na badala yake mkanichagua mimi kuwa headliner wa tamasha hili kubwa la kihistoria SIMBA DAY.

    Kwangu mimi hili ni tamasha langu kubwa la kwanza kuwahi kulifanya la uwanjani linalohusiana na mpira wa miguu katika maisha yangu ya mziki , ndo maana nilichagua kufanya kila lililo ndani ya uwezo wangu ili kuhakikisha nawapa furaha mashabiki na wadau wa Simba Sports Club

    Ndo Maana Kwangu halikuwa tu tamasha, bali niliona kama Platform Ya Kuonyesha Sehemu Ya Vipaji Ambavyo Mwenyezi Mungu Amenijaalia na pengine hamkuwahi kuviona hapo awali mfano Kuigiza kwa Uhalisia Wa Daraja la Juu , kuimba na Vengine ambavyo Viliwavutia.. ( Almanusuru Nitoe Uhai Kwenye Kuandaa Furaha Kwa Wana Simba 🥹 )

    Siwezi Kusema ni kiasi gani cha Pesa nimetumia kwenye hili ila fahamu kila nilichofanya ni kwa Sababu Ya Mapenzi Yangu Makubwa na Club Yangu Hii Pendwa Ya Simba Sports Club

    Nina imani Mlifurahi Na Kama kuna Sehemu nilikosea au Palikuwa na Mapungufu Naomba Mnisamehe Sababu Mimi ni Mwanadamu Siwezi Fanya Vyote Kwa Ukamilifu”

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleFADLU ASEMA YANGA NDIO WANA HOFU KULIKO SIMBA
    Next Article BAJABER NA ALASSANE KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA YANGA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.