Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » BAJABER NA ALASSANE KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA YANGA
    KITAIFA

    BAJABER NA ALASSANE KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA YANGA

    By AdminSeptember 15, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids amethibitisha kuwa siku ya kesho watawakosa wachezaji wawili katika mchezo wa ngao ya jamii dhidi ya Yanga wachezaji hao ni Mohamed Bajaber na Alassane Kante.

    “Bajaber ana majeraha, Allasane Kante naye pia aliumia kwenye pre season hivyo hao wawili wataukosa mchezo wa Yanga lakini Semfuko naye alikuwa ana majeraha japo amerejea mazoezini sasa hivyo yeye anaweza kuwepo kwenye mchezo huo ” – Fadlu Davids, Kocha Simba SC.

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMBOSSO AFUNGUKA ALMANUSURA AFARIKI KISA MAANDALIZI YA SIMBA DAY
    Next Article HUYU HAPA MTANZANIA WA KWANZA KUPATA MEDALI YA DHAHABU

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.