Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป MAKOCHA WA MAPACHA WA KARIAKOO KUPISHANA AIRPORT
    KITAIFA

    MAKOCHA WA MAPACHA WA KARIAKOO KUPISHANA AIRPORT

    By AdminOctober 3, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    makocha
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Wakati tetesi za aliyekuwa kocha wa Gaborone United raia wa Bulgaria Dimitar Nikolaev Pantev kujiunga na wekundu wa Msimbazi kuwa kocha mkuu mpya wa klabu hiyo upande wa pili kwa Mabingwa wa Tanzania tetesi za kuachana na kocha wao Romain Folz zimeshika kasi.

    Taarifa hizo zinazohusisha wababe wa soka la Tanzania kama zikiwa za kweli basi makocha hao watapishana mmoja akiondoka kwenye klabu yenye makao makuu mitaa ya Jangwani huku mwingine akijiunga na klabu yake ya mitaa ya Msimbazi.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleCv ya Dimitar Pantev Kocha Mpya wa Simba Sc 2025
    Next Article MBINU ZA TUCHEL ZAWATEMA BELLINGHAM, FODEN NA GREALISH

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.