Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป MAKOCHA WA MAN CITY & LIVERPOOL WAJIANA JUU KISA MCHEZAJI BORA
    KIMATAIFA

    MAKOCHA WA MAN CITY & LIVERPOOL WAJIANA JUU KISA MCHEZAJI BORA

    By AdminSeptember 13, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    man city
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Pep Guardiola amepinga madai ya kocha wa Liverpool Arne Slot kwamba mchezaji wake mpya Alexander Isak ya kwamba ndiye mshambuliaji bora zaidi duniani, huku akisema anamuweka mshambuliaji wa Manchester City Erling Haaland juu kidogo ya Isak.

    Guardiola aliongea hayo jana Ijumaa alipokuwa akijibu maswali ya waandishi waliotaka kujua mtazamo wake kwenye kuwalinganisha Haaland dhidi ya Isak.

    “Isak ni mchezaji wa kipekee lakini ukiniuliza kuhusu Haaland naona yuko juu kidogo ya Isak” alisema kocha huyo wa kihispania.

    Liverpool FC Manchester City
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleHILI NDIO TAMASHA LILIPENDEZA ZAIDI, KATI YA SIMBA DAY NA YANGA DAY
    Next Article ARTETA: BUKAYO SAKA NA SALIBA HAWATAKI KUONDOKA ARSENAL

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.