Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » Majeraha Yamrejesha Kylian Mbappe Real Madrid
    KIMATAIFA

    Majeraha Yamrejesha Kylian Mbappe Real Madrid

    By AdminNovember 15, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Mbappe
    FILE PHOTO: Soccer Football - Euro 2024 - Group D - France v Poland - Dortmund BVB Stadion, Dortmund, Germany - June 25, 2024 France's Kylian Mbappe celebrates scoring their first goal REUTERS/Leon Kuegeler/File Photo
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Nahodha wa Timu ya Taifa ya Ufaransa na Mshambuliaji wa Real Madrid Kylian Mbappé ameondoka kwenye kambi ya Timu ya Taifa na kurejea kwenye klabu yake kwa ajili ya kufanyiwa vipimo zaidi ya jeraha lake.

    Mbappe licha ya kucheza mchezo wa jana dhidi ya Ukraine na kuandika historia ya kuwa mchezaji mwenye umri mdogo zaidi kwa karne ya 21 kufunga magoli 400 katika michezo 537 bado anasumbuliwa na jeraha la kifundo cha mguu wake wa kulia.

    Mshambuliaji huyo ni rasmi ataukosa mchezo unaofuata wa Nchi yake dhidi ya timu ya Taifa ya Azerbaijan siku ya Jumapili.

    Real Madrid
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleAzam FC Yapania Kufanya Mageuzi, CEO Mpya Ateuliwa na Msaidizi Wake
    Next Article Simba Yapoteza Mbele ya Petro de Luanda, Yaburuza Mkia Kundi la CAFCL

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.