Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » LAMINE YAMAL ATOA NENO KWENYE TUZO YA DEMBELE
    KIMATAIFA

    LAMINE YAMAL ATOA NENO KWENYE TUZO YA DEMBELE

    By AdminSeptember 23, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    lamine yamal
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Nyota wa Barcelona raia wa Hispania na mshindi wa tuzo ya mchezaji bora kijana kwa msimu wa pili mfululizo Lamine Yamal amempongeza mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or usiku wa jana Ousmane Dembele kwa kufanikiwa kushinda tuzo hiyo ya mchezaji bora wa Dunia 2025.

    Lamine ametoa pongezi hizo kupitia ukurasa wake wa Instagram akiandika ujumbe wa shukrani kwa tuzo aliyoitwaa mara ya pili huku akiambatanisha na pongezi hizo kwa staa huyo wa PSG.

    “Mpango wa Mungu ni Mkamilifu na ni lazima upande ili kufika kileleni,Nimefurahia kushinda tuzo ya Kop mara ya pili na nampongeza Ousmane Dembele kwa tuzo hiyo na msimu mzuri”Ameandika Lamine.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMWAMNYETO ASEMA KILICHOTOKEA ANGOLA KITAWAKUTA NA PAMBA
    Next Article HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 24, 2025

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.