Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » KOCHA WA SIMBA AICHIMBA MKWARA KMC FC
    KITAIFA

    KOCHA WA SIMBA AICHIMBA MKWARA KMC FC

    By AdminFebruary 10, 2026No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Simba
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Kocha Mkuu wa Simba, Steve Barker, amezungumzia maandalizi ya timu yake kuelekea mchezo wa Ligi Kuu utakaopigwa kesho Jumatano, Februari 11 kwenye uwanja wa KMC Complex jijini Dar es Salaam saa 1:00 usiku kwa muda wa Tanzania.

    Barker amesema maandalizi ya kikosi chake yamekwenda vizuri hadi sasa, na amesisitiza umuhimu wa kucheza mchezo huo kwa kiwango cha juu ili kupata ushindi unaotakiwa.

    “Tunahitaji kucheza mechi hii vizuri ikiwa ni pamoja na kutawala mchezo na kupata ushindi kama ambavyo malengo yetu yalivyo,” amesema kocha huyo raia wa Afrika Kusini.

    Simba inaingia katika mchezo huu ikiwa na hamu kubwa ya kuendeleza mfululizo wa matokeo mazuri na kuimarisha nafasi yake katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleROONEY AMTABIRIA MABAYA ARTETA, AMSHAURI APIGE KAZI
    Next Article RASMI AL NASR YAMCHOMOA KIBU DENIS MSIMBAZI KWA MILIONI 776

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.