Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป GREALISH ATAMBULISHWA RASMI EVERTON
    KIMATAIFA

    GREALISH ATAMBULISHWA RASMI EVERTON

    By AdminAugust 13, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Everton wametangaza kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji Jack Grealish kwa mkopo kutoka Manchester City.

    Mwingereza huyo mwenye umri wa miaka 29 ataitumikia The Toffees msimu mzima wa 2025/26 na atavaa jezi namba 18. Grealish, ambaye ameshinda mataji makubwa akiwa na City ikiwemo Ligi Kuu mara tatu, Kombe la FA mara mbili, Ligi ya Mabingwa, UEFA Super Cup na Kombe la Dunia la Klabu, anakuwa mchezaji wa sita kusajiliwa na David Moyes majira haya ya joto baada ya kuwasili kwa Charly Alcaraz, Thierno Barry, Mark Travers, Adam Aznou na Kiernan Dewsbury-Hall.

    Akihojiwa na Everton Tv, Grealish alisema: “Nimefurahi sana kusaini Everton. Ni jambo kubwa kwangu, kwa kweli. Hii ni klabu kubwa yenye mashabiki wakubwa. Nilipozungumza na kocha, nilijua hakuna sehemu nyingine ningependa kwenda. Mashabiki wamekuwa wakinitumia ujumbe mwingi wa kunikaribisha, na hiyo pia ilinifanya nichague kujiunga na Everton. Asanteni kwa upendo na sapoti, natumai nitawalipa kwa kile nitakachotoa uwanjani.”

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleCAF YATOZA KENYA FAINI YA MILIONI 127, YAONYA KUHAMISHIA MECHI NJE
    Next Article ZAHERA AFUNGUKA ALIKATAA MZIZE ASIENDE SINGIDA

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.