Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป CHAMOU NI BEKI MZURI SANA WATU MSIMBEZE
    KITAIFA

    CHAMOU NI BEKI MZURI SANA WATU MSIMBEZE

    By AdminJanuary 11, 2026No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Karaboue Chamou
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link
    Nimeona baadhi ya mashabiki wa kandanda wakimtupia maneno ya kejeli beki wa kimataifa wa Ivory Karaboue Chamou anayeichezea klabu ya Simba kwa sasa.
    Mashabiki wengi wanamfuata na kumzodoa beki huyo kwenye mitandao ya kijamii mara baada ya Simba kupoteza mchezo wowote.
    Haya yote sababu yake nini? Na kwanini inakuwa hivyo.
    Kiufundi Karaboue Chamou ni beki mwenye nidhamu ya hali ya juu katika uchezaji wake. Ni beki tafu sana kama utaamua kwenda nae hewani au kufanya naye battle.
    Namkumbuka Karaboue Chamou aliyeifikisha Simba Hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika msimu uliopita mara baada ya Che Malone Fondoh kuumia na kuonekana kiwango chake kimedorora. What A Performance.
    Karaboue Chamou ni mchezaji mzuri saana lakini anakosa sifa moja ya speed pale ambapo anakutana na washambuliaji wenye speed kali.
    Simba mnaye beki mzuri endeleeni kumtia moyo ndiye beki a Simba kwa sasa aliye active.
    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleSIMBA RASMI YAREJEA KAMBINI KUJIANDAA, MIPANGO NI MIKUBWA SASA
    Next Article AZAM YAMLETA HAALAND BONGO, ANA BALAA HATARI

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.