Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป BEKI WA KAZI SIMBA SC KAMILI KUWAKABILI RS BERKANE MEI 25 2025
    KITAIFA

    BEKI WA KAZI SIMBA SC KAMILI KUWAKABILI RS BERKANE MEI 25 2025

    By AdminMay 24, 20251 Comment2 Mins Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    SIMBA SC wawakilishi wa Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Kombe la Shirikisho Afrika, Mei 25 2025 watakuwa na kazi nzito mbele ya RS Berkane kwenye mchezo wa fainali ya pili la Kombe la Shirikisho Afrika huku beki wao akiwa kwenye asilimia kubwa kurejea uwanjani.

     Jina lake ni Abdulrazack Hamza, yupo kwenye orodha ya wachezaji ambao wanapewa nafasi ya kuanza kikosi cha kwanza mara baada ya kukwama kukamilisha dakika 90 dhidi ya RS Berkane kwenye mchezo uliopita ugenini alipopata maumivu.

    Ipo wazi kwamba Mei 17 2025, Hamza alipata maumivu dakika ya 21 kwenye mchezo huo na nafasi yake ilichukuliwa na beki wa kazi Che Malone aliyekamilisha dakika zilizobaki kwenye mchezo huo ugenini.

    Simba SC kwa sasa ipo Zanzibar kwa maandalizi ya mchezo wa fainali ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika ambapo Hamza anafanya mazoezi ya nguvu pamoja na wachezaji wenzake katika kujiandaa na mchezo wa fainali ya pili Kombe la Shirikisho Afrika.

    Mchezo huo, Simba inatarajiwa kuvaana dhidi ya Berkane saa kumi kamili jioni kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar ambao wanahitaji ushindi wa 3-0 wabebe taji hilo kwa kuwa walipoteza mchezi wa kwanza kwa kufungwa mabao 2-0.

    Taarifa zinaeleza kuwa Hamza amepona majeraha yake aliyoyapata katika mchezo wa awali na kushindwa kuendelea katika kipindi cha kwanza, beki huyo amepona ana asilimia mia moja ya kucheza pambano hilo.

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleTANZIA: BABA WA CEO AZAM FC ATANGULIA MBELE ZA HAKI
    Next Article SIMBA SC KUINGIA KWA MKAKATI KUWAKABILI RS BERKANE MEI 25 2025

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    View 1 Comment

    1 Comment

    1. go now on May 26, 2025 01:37

      I always used to read post in news papers but now as I am a user of web therefore
      from now I am using net for posts, thanks to web.

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.