Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » AZAM FC KUANZA KAZI LEO RWANDA MECHI DHIDI YA APR FC
    KITAIFA

    AZAM FC KUANZA KAZI LEO RWANDA MECHI DHIDI YA APR FC

    By AdminAugust 19, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    azam
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    AZAM FC wakiwa nchini Rwanda ambapo wameweka kambi wanatarajiwa kushiriki michuano ya Inkera Y’abahizi baada ya kualikwa na wenyeji wao APR FC na leo Agosti 19 2025 watakuwa na kibarua kuhesabu mechi nne za ushindani.

    Ipo wazi kwamba Azam FC inapeperusha bendera ya Tanzania kwenye anga la kimataifa ikiwa ni katika Kombe la Shirikisho na inashiriki Ligi Kuu Tanzania Bara ya NBC ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika.

    Leo Azam FC inatarajiwa kucheza na Police FC, mechi ya pili itakuwa dhidi ya AS Kigali Agosti 21, watakutana na wenyeji APR, Agosti 24 2025.

    Kete ya nne kukamilisha dakika 360 kwa Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Florent Ibenge inatarajiwa kuwa dhidi Vipers ya Uganda Agosti 29 2025.

    Timu hiyo imefanya usajili mkubwa kuelekea msimu mpya wa 2025/26 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Miongoni mwa wachezaji waliopo katika kikosi hicho ni Sadio Kanoute ambaye aliwahi kucheza Simba SC, Fofana ambaye ni kipa na Barakat hawa wote wamesaini dili la miaka miwili.

    Azam FC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticlePITIA MAGAZETI YA MICHEZO LEO TAREHE 19 AGOSTI 2025
    Next Article MAEMA AWAWAKIA WAANDISHI KISA PENATI ZA UGANDA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.