Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » AFCON 2025 kuanza kutimua vumbi rasmi leo Morocco
    KIMATAIFA

    AFCON 2025 kuanza kutimua vumbi rasmi leo Morocco

    By AdminDecember 21, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    afcon
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Rasmi michuano mikubwa ya soka barani Arika, Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2025) itaanza kutimua vumbi nchini Morocco kuanzia usiku wa leo Jumapili.

    Morocco ambao ni wenyeji wa mashindano watashuka uwanjani Prince Moulay Abdellah huko Rabat kurusha kete yao ya kwanza wakati itakapokipiga na Comoros.

    Morocco inashika nafasi ya 11 kwenye viwango vya soka vya dunia, huku ikishika namba moja kwa Afrika, wakati Comoros yenyewe inashika nafasi ya 108.

    Timu hizo mbili zimewahi kukutana mara nne, ambapo Morocco ilishinda tatu na moja ilimalizika kwa sare.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleJumapili ya Soka Ulaya: Mechi Kubwa Bundesliga, Serie A na LaLiga
    Next Article Sergio Ramos arejea Bernabéu Baada ya Miaka Mitano

    Related Posts

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    March 18, 2026

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    March 18, 2026

    Drone Yashambulia Tangi la Mafuta Karibu na Uwanja wa Ndege wa Dubai.

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.