Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » YANGA SC YAMTAJA SILLAH NA FEI KUINGIA KIKOSINI HAPO
    KITAIFA

    YANGA SC YAMTAJA SILLAH NA FEI KUINGIA KIKOSINI HAPO

    By AdminJune 1, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    NYOTA wawili kutoka Azam FC ambao wanatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Yanga SC wametajwa na bosi wa kutoka mitaa ya Jangwani.

    Ni Feisal Salum kiungo mshambuliaji ambaye ni kinara kwa utengenezaji pasi za mwisho akiwa nazo 13 na Giblil Sillah mwenye pasi mbili za mabao.

    Mbali na pasi mbili za mabao alizonazo Sillah kiungo huyo mshambuliaji katupia jumla ya mabao 9 kwenye ligi huku Feisal akiwa katupia mabao manne.

    Mastaa hawa wanatajwa kuwa kwenye rada za timu mbalimbali na miongoni mwa timu ambazo zinatajwa ni Yanga SC.

    Kuhusu Fei mabosi wa Azam FC waliweka wazi kuwa bado mchezaji huyo yupo ndani ya kikosi hicho kwa kuwa walisubiri ofa na hakuna timu iliyofika hapo.

    Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga SC amesema kuwa kwa timu kuwa na wachezaji wazuri ni sababu kutokuwa na hofu kuona watu wanaangalia mchezo.

    “Ikiwa unakuwa na wachezaji wazuri kama Pacome, una Sillah una mchezaji kama Feisal unadhani utakuwa na hofu kuona kuna watu wanakuja kuiangalia timu yako? Huwezi kuwa na hofu kwa kuwa una wachezaji wazuri wenye uwezo.”

    Sillah kwenye mabao 9 aliyofunga kazifunga Simba SC na Yanga SC kwenye ligi bao mojamoja walipokutana.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticlePITIA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 27, 2025
    Next Article STARS VS BAFANA BAFANA NI VITA YA REKODI LEO

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.