Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » YANGA SC KAMILI KIMATAIFA KUWAKABILI WILLIETE
    KITAIFA

    YANGA SC KAMILI KIMATAIFA KUWAKABILI WILLIETE

    By AdminSeptember 19, 2025No Comments2 Mins Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    yanga
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    IBRAHIM Bacca beki wa Yanga SC amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Williete SC ya Angola unaotarajiwa kuchezwa leo Septemba 19 2025.

    Septemba 18 2025 kikosi cha Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Romain Folz kilifanya mazoezi ya mwisho kwa ajili ya mchezo wao wakiwa ugenini.

    “Kila mchezaji yupo tayari na Wananchi waendelee kutuombea kwa ajili ya mchezo wetu tunamshukuru Mungu temefika salama. Nimekuwa hapa kwenye majukumu yangu na nikipata nafasi nitahakikisha tunapata matokeo mazuri ugenini.

    “Kupata nafasi kwenye mechi ambazo tunacheza kwangu ni jambo zuri hasa ukizingatia hii ni kazi yangu. Wachezaji wote tupo tayari na tunapambana kuona kwamba mashabiki wanapata furaha.”

    Bacca alikuwa miongoni mwa wachezaji ambao walianza kikosi cha kwanza kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Simba SC uliochezwa Uwanja wa Mkapa Septemba 16 2025.

    Katika mchezo huo Yanga SC ilipata ushindi wa bao 1-0 ambalo lilifungwa na Pacome kiungo mshambuliaji wa Yanga SC.

    Wiliete SC ni klabu ya Angola inayopatikana huko Benguela. Ingawa ni klabu changa, imethibitisha kasi ya ukuaji wake kwa kushiriki kwenye ligi kuu ya Angola (Girabola), na kushika nafasi za juu kabisa. Kwa upande wa Yanga SC wanauendea mchezo huu wakiwa ni mojawapo ya klabu kubwa.

    Yanga SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleHUU HAPA UKWELI WA FADLU KUONDOKA SIMBA
    Next Article ORODHA YA WACHEZAJI WA SIMBA SC WALIOPO BOTSWANA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.