Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » YANGA SC BADO WAPO SOKONI KUSAKA WACHEZAJI WAPYA
    KITAIFA

    YANGA SC BADO WAPO SOKONI KUSAKA WACHEZAJI WAPYA

    By AdminAugust 9, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    KAMA unadhani Yanga SC mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara wamemaliza usajili, bado kazi haijaisha kwa kuwa kuna wachezaji wengine wapya bado hawajatambulisha.

    Ikumbukwe kwamba Yanga SC ni mabingwa mara 31 wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC hii ni ligi namba nne kwa ubora Afrika.Ni pointi 82 Yanga SC ilikusanya baada ya mechi 30 mafasi ya pili ipo mikononi mwa Simba SC yenye pointi 78 kibindoni.

    Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga SC amesema kuwa bado hawajamaliza usajili kwa msimu wa 2025/26. Tayari Yanga SC imetambulisha wachezaji 9 wapya akiwemo beki wa kushoto Mohamed Hussen Zimbwe Jr, Offen Chikola.

    Zimbwe Jr alikuwa nahodha wa Simba SC msimu wa 2024/25. Msimu wa 2025/26 atakuwa kwenye changamoto mpya ndani ya kikosi cha Yanga SC ambacho kimeweka kambi Dar na kinatarajiwa kuelekea Rwanda kati ya Agosti 13 kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Rayor Sportt.

    Kamwe amesema: “Bado hatujamaliza usajili na kuna wachezaji kama watatu hivi tutamalizana nao na kuwatambulisha. Tunahitaji kuwa na kikosi imara chenye ushindani mkubwa hilo lipo wazi.”

    Yanga SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMAMOSI TAREHE 09-08-2025
    Next Article JONATHAN SOWAH ATUMA UJUMBE KWA WANASIMBA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.