Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » WANANCHI KUNYWA SUPU JANGWANI SIKU YA KESHO TAREHE 09-09-2025
    KITAIFA

    WANANCHI KUNYWA SUPU JANGWANI SIKU YA KESHO TAREHE 09-09-2025

    By AdminSeptember 8, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    wananchi
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Kuelekea maadhimisho ya Wiki ya Mwananchi, Klabu ya Yanga imetangaza kuwa siku ya Jumanne katika Makao Makuu yake yaliyopo Jangwani kutafanyika zoezi la uchangiaji damu salama kwa lengo la kusaidia watu wenye changamoto ya upungufu wa damu.

    Akizungumza na waandishi wa habari, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe, alisema shughuli hiyo itakuwa na umuhimu mkubwa kwa jamii kwani itagusa maisha ya watu wengi wanaohitaji damu hospitalini.

    “Tutakuwa na mambo mawili. Moja ni kuchangia damu salama kuelekea Wiki ya Mwananchi kwa ajili ya kusaidia kundi kubwa la watu wenye changamoto ya ukosefu wa damu,” alisema Kamwe.

    Aidha, alibainisha kuwa washiriki wote watakaojitokeza katika zoezi hilo maalum watazawadiwa zawadi mbalimbali kama sehemu ya kuonyesha kuthamini mchango wao.

    Shughuli hiyo itahitimishwa kwa burudani ya pamoja ambapo washiriki na wageni wote watapata fursa ya kushiriki katika unywaji wa supu.

    Yanga SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleENG. HERSI AKATAA KUACHIA UONGOZI MPAKA AJENGE UWANJA WA YANGA
    Next Article DKT. BITEKO AHIMIZA WANAMICHEZO KUCHUNGUZA AFYA ZAO

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.