Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » UPANDE WA MO DEWJI NAO WATOA MAJIBU HAYA MAZITO
    KITAIFA

    UPANDE WA MO DEWJI NAO WATOA MAJIBU HAYA MAZITO

    By AdminFebruary 6, 2026No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    mo dewji
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link
    Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC imeeleza kusikitishwa na vitendo vya baadhi ya watu kuitisha mkutano usio rasmi na kutoa maneno ya kashfa pamoja na kauli zisizo na staha dhidi ya mwekezaji wa klabu hiyo, Ndugu Mohammed G. Dewji.
    Klabu imesisitiza kuwa vitendo hivyo havikubaliki na haitatabari wala kuvumilia mtu yeyote atakayeharibu taswira ya klabu kwa namna yoyote ile, huku wakitoa pole rasmi kwa Ndugu Dewji kutokana na usumbufu huo.
    ​Kutokana na hali hiyo, uongozi wa Simba umeliandikia Jeshi la Polisi ili kuchukua hatua kali za kisheria dhidi ya wote waliohusika katika mkutano huo ama “kula njama,” kwa lengo la kuwafikisha kwenye vyombo vya dola kwa makosa ya jinai.
    Aidha, klabu imetoa onyo kali kuhusu matumizi haramu ya nembo za wadhamini wao yaliyofanyika katika mkutano huo usio rasmi, ikisisitiza kuwa itachukua hatua za kisheria kulinda haki za wadhamini wake.
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMMILIKI WA MBEYA KWANZA APIGA MKWARA HUU MZITO
    Next Article Hizi Hapa Hesabu Konki za Yanga Kufuzu Robo Fainali Klabu Bingwa

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.