Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป TFF YATOA MAELEKEZO KWA WAGOMBEA WA UCHAGUZI MKUU 2025
    KITAIFA

    TFF YATOA MAELEKEZO KWA WAGOMBEA WA UCHAGUZI MKUU 2025

    By AdminJune 18, 20251 Comment1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limewataka waombaji wote wa nafasi ya uongozi kwenye Uchaguzi Mkuu wa TFF utakaofanyika Agosti 16 mwaka huu Jijini Tanga kuhakikisha wanakuwa na Kanuni za Uchaguzi.

    Taarifa ya Juni 17, 2025 iliyotolewa na TFF imeeleza kuwa wagombea hao wanapochukua fomu za kuwania uongozi katika uchaguzi huo wanatakiwa kuhakikisha wanapata na Kanuni hizo na kubainisha kuwa kwa wale ambao tayari wameshachukua fomu, wanatakiwa kuwasiliana na Sekretarieti ya TFF ili kupata Kanuni hizo.

    TFF imesema nafasi zinazowaniwa katika uchaguzi huo utakaoendeshwa na Kamati ya Uchaguzi ya TFF ni saba. Nafasi hizo ni Rais, na wajumbe sita wa Kamati ya Utendaji.

    Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu ni saa 10 kamili jioni Agosti 20 mwaka huu. Fomu zinarudishwa katika ofisi za TFF.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleYANGA YAJIPANGA KWA POINTI TATU DHIDI YA PRISONS MBEYA
    Next Article OFISA HABARI WA AZAM FC ANALITAKA JIMBO

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    View 1 Comment

    1 Comment

    1. bangla Khobor Kolkata on June 21, 2025 23:36

      I just like the helpful information you provide in your articles

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.