Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » TANZANIA KWENYE VITA UWANJANI NA MOROCCO CHAN 2024
    KITAIFA

    TANZANIA KWENYE VITA UWANJANI NA MOROCCO CHAN 2024

    By AdminAugust 22, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo Agosti 22 2025 ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali dhidi ya Morocco ikiwa ni CHAN 2024.

    Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa saa mbili usiku huku benchi la ufundi la Stars likibainisha kuwa lipo tayari kuhakikisha matokeo yanapatikana ndani ya dakika 90.

    Hemed Suleman, Kocha Mkuu wa Stars amesema wanatambua kwamba mchezo hautakuwa mwepesi kutokana na ugumu wa hatua waliyopo lakini wapo tayari kwa ajili ya kupata matokeo mazuri.

    “Nimefarijika kuona tunatengeneza nafasi suala la kutuma nafasi bado tunaendelea kuhakikisha tunapamana nalo, kabla ya mashindano nilisema kuna changamoto katika umaliziaji lakini nashukuru tunaendelea vizuri tumefunga mabao matano katika hatua ya makundi.

    “Tunarudi katika robo fainali ni mechi ya maamuzi tunatkiwa kufunga magoli kwahiyo wachezaji wanaendelea kufanya mazozi ya kuona kila nafasi tunayopata tunaitumia. Wapinzani tunawaheshimu hivyo tutahakikisha tunapata matokeo kenye mchezo wetu muhimu.”

    Taifa Stars
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticlePITIA MAGAZETI YA MICHEZO LEO TAREHE 22 AGOSTI 2025
    Next Article STARS ICHEZE UWANJANI MASHABIKI WACHEZE JUKWAAMI

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.