Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป TAKWIMU YA ROMAIN FOLZ KATIKA MECHI 6 AKIWA YANGA
    KITAIFA

    TAKWIMU YA ROMAIN FOLZ KATIKA MECHI 6 AKIWA YANGA

    By AdminOctober 5, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    yanga folz
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    WAKATI tetesi zikieleza kuwa huenda Romain Folz akafutwa kazi ndani ya kikosi cha Yanga SC rekodi zinaonyesha kuwa amekiongoza kikosi kwenye mechi 6.

    Katika mechi hizo ushini ni mechi tano na aliambua sare mchezo mmoja wa ligi ugenini dhidi ya Mbeya City uliochezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya.

    Sababu kubwa inayotajwa kumuondoa Folz kwenye benchi la ufundi ni timu kucheza katika kiwango cha chini katika mechi za ushindani.

    Hizi hapa rekodi za mechi ambazo alikaa benchi ndani ya msimu wa 2025/26 mrithi wa mikoba ya Miloud Hamdi:-

    Yanga 1-0 Bandari ya Kenya. (Mechi ya kirafiki)

    Yanga SC 1-0 Simba SC, (Ngao ya Jamii).
    Wiliete 0-3 Yanga SC, (Ligi ya Mabingwa Afrika).
    Yanga SC 3-0 Pamba Jiji, (Ligi ya NBC).
    Yanga 2-0 Wiliete SC, (Ligi ya Mabingwa Afrika).

    Mbeya City 0-0 Yanga SC, (Ligi ya NBC)

    Yanga SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleAUDIO: AIC Chang`ombe Choir (CVC) – SIFA ZA YESU MP3 DOWNLOAD
    Next Article GERSON MSIGWA AKANUSHA TAARIFA ZA UWANJA WA MKAPA KUFUNGIWA MIEZI 6

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.