Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » SIMBA SC YAPASWA KUJIVUNIA HUYU MWAMBA, ANACHAPA KAZI KWELI KWELI
    KITAIFA

    SIMBA SC YAPASWA KUJIVUNIA HUYU MWAMBA, ANACHAPA KAZI KWELI KWELI

    By AdminJuly 29, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    simba
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kuwa Fadlu yupo likizo ila anafanya kazi kwa moyo mkubwa akiwa Tanzania.

    “Katika vitu ambavyo tunapaswa kujivunia kwa hali na mali Wanasimba ni uwepo wa Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Yupo likizo lakini alitoka Afrika Kusini na kuelekea Dubai kuongea na Mo.

    “Kwa sasa Fadlu yupo Tanzania akifuatilia hatua kwa hatua wachezaji atakaowasajili na kufanya mipango ya msimu ujao. Anafanya kazi kwa moyo mkubwa mno katika kutimiza majukumu yake. Wanasimba tunapaswa kujivunia kuwa na kocha huyu,”.

    Simba SC msimu wa 2024/25 ilikuwa chini ya Fadlu ambaye dakika 180 mbele ya Yanga SC kwenye mechi za ligi zote alipotea mzunguko wa kwanza na ule wa pili.

    Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza baada ya dakika 90 ilikuwa Simba SC 0-1 Yanga SC na mzunguko wa pili, Yanga SC 2-0 Simba SC. NI mechi mbili alipoteza baada ya kucheza mechi 30 msimu uliopita wakigotea nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi.

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMANNE TAREHE 28-7-2025
    Next Article HUKO SIMBA MAMBO NI KIMYA KIMYA….HII HAPA MASHINE YA KAZI MRITHI WA TSHABALALA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.