Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » SIMBA SC WAANZA NI MWENDO WA MATIZI, KIBU, CAMARA NDANI
    KITAIFA

    SIMBA SC WAANZA NI MWENDO WA MATIZI, KIBU, CAMARA NDANI

    By AdminAugust 5, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    SIMBA SC chini ya Kocha Mkuu Fadlu Davids wanaendelea na matizi ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya wa 2025/26.

    Katika kambi iliyopo Misri wachezaji wapya na wale waliokuwa katika kikosi cha Simba SC iliyogotea nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi wapo kambini.

    Miongoni mwa wachezaji waliopo ndani ya kikosi cha Simba SC ni Kibu Dennis ambaye huyu alikuwa nchini Marekani wakati wa likizo huku Moussa Camara ambaye ni kipa namba moja naye akiwa yupo kwenye orodha ya wachezaji waliopo katika kikosi.

    Camara ni kipa namba moja kwa kukusanya hati safi msimu wa 2024/25 alipokusanya jumla ya hati safi 19 ndani ya ligi ya NBC ambayo ni namba nne kwa ubora.

    Mbali na Kibu Dennis yupo Mzamiru Yassin kiungo wa kazi ngumu ambaye msimu wa 2024/25 hakuwa fiti kwa asilimia 100 kwenye mechi za ushindani.

    Leonel Ateba na Steven Mukwala ambao ni washambuliaji nao wapo kambini kwa maandalizi ya msimu mpya unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.

    Miongoni mwa wachezaji wapya waliopo kambini ni nyota  aliyetambulishwa Agosti 2 2025 Simba SC ambaye ni Mohamed Bajaber. Kiungo mshambuliaji alikuwa anacheza Polisi ya Kenya.

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleLIVERPOOL, ARSENAL AU CITY? VITA YA KILELENI YACHUKUA KASI MAPEMA
    Next Article MAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMANNE TAREHE 5-8-2025

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.