Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » SIMBA SC KUFANYA USAJILI MKUBWA KUELEKEA MSIMU MPYA
    KITAIFA

    SIMBA SC KUFANYA USAJILI MKUBWA KUELEKEA MSIMU MPYA

    By AdminJuly 18, 2025No Comments2 Mins Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    KUELEKEA msimu mpya wa 2025/26, Simba SC wamebainisha kuwa watafanya usajili mkubwa kupata timu imara ya ushindani kitaifa na kimataifa.

    Ipo wazi kuwa Aishi Manula ambaye ni kipa huyu atakuwa ndani ya Azam FC, Omary Omary amepelekwa kwa mkopo Mashujaa FC, Fabrince Ngoma mkataba wake umeisha, Kelvin Kijili atakuwa ndani ya Singida Black Stars ni baadhi ya wachezaji ambao hawatakuwa ndani ya kikosi cha Simba SC msimu ujao.

    Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC ameweka wazi kuwa wanakuja na kishindo. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 Simba SC ilipishana na mataji yote iliyokuwa ikisaka.

    Taji la Ngao ya Jamii ni Yanga SC walitwaa, taji la CRDB Federation Cup, Yanga SC walitwaa taji la Ligi Kuu Bara inayodhaminiwa na NBC ni Yanga SC walitwaa huku lile la Kombe la Shirikisho Afrika ni RS Berkane ya Morocco walitwaa taji hilo.

    Ally amesema wanatambua kwamba ulikuwa ni msimu wenye ushindani hivyo Wanasimba wasiishiwe nguvu, mipango inapangwa na usajili unafanyika mkubwa kuelekea msimu mpya wa 2025/26.

    “Kwa sasa viongozi wa Simba SC wametapakaa kila kona kwenye nchi za Afrika kwa ajili ya kumalizia usajili wa wachezaji wapya. Huu ni usajili mwingine wa kishindo na sitaongea sana safari hii nitaacha watu waone wenyewe.”.

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleYANGA SC YAMTAMBULISHA NYOTA WA KISHINDO CHA BILIONI 87
    Next Article VIPERS SC YAMSAJILI WINGA MNIGERIA ODILI CHUKWUMA KWA MKATABA WA MIAKA MIWILI

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.