Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » SIMBA SC BADO IPO KWENYE MCHAKATO WA KUJENGA KIKOSI
    KITAIFA

    SIMBA SC BADO IPO KWENYE MCHAKATO WA KUJENGA KIKOSI

    By AdminJuly 15, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    SIMBA SC iliyogotea nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC 2024/25 bado ipo kwenye mchakato wa kuendelea kujenga kikosi.

    Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 ndani ya ligi namba nne kwa ubora bingwa ni Yanga SC akitwaa taji la 31 chini ya kocha Miloud Hamdi ambaye hatakuwa katika kikosi hicho kwa msimu wa 2025/25.

    Kwa mujibu wa Rais wa Heshima wa Simba SC, Mohamed Dewji maarufu kwa jina la Mo amebainisha kuwa msimu uliopita haukuwa mwepesi ulikuwa na changamoto nyingi lakini wanaendelea kuimarika taratibu.

    “Msimu uliopita haukuwa mzuri kwetu na haukuwa rahisi. Tumepitia mengi na tunaamini kwamba bado tunajipanga upya kwa msimu ujao.

    “Sisi bado tupo kwenye mchakato wa kujenga kikosi upya ambapo tulianza kazi hiyo msimu ambao umekwisha bado hatujafanikiwa kufikia malengo yetu hivyo tunaendelea kujenga kikosi upya.

    “Tumefanikiwa kupelekea timu kwenye fainali ya Afrika mara mbili licha ya kwamba hizo zote tulishindwa kupata ushindi hii inaonyesha bado tunazidi kupanda. Timu yetu ipo nafasi ya tano Afrika na malengo makubwa ni kuona kwamba tunaleta ubingwa wa Afrika.”

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleRULANI MOKWENA ATIMKUA LIGI KUU YA ALGERIA KUINOA MC ALGER
    Next Article YANGA YAIPIKU SIMBA KWENYE KUINASA SAINI YA KIUNGO HUYU

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.