Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป SIMBA SC 1-1 RS BERKANE, FAINALI, MEI 25 2025
    KITAIFA

    SIMBA SC 1-1 RS BERKANE, FAINALI, MEI 25 2025

    By AdminMay 25, 2025No Comments2 Mins Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    FT: Uwanja wa New Amaan Complex

    Simba SC 1-1 RS Berkane, (1-3)

    RS Berkane wanapata bao la kuweka usawa dakika ya 90.

    Dakika ya 70 Steven Mukwala alipachika bao ambalo VAR limefuta kwa kueleza kuwa alikuwa kwenye mtego wa kuotea.

    Yusuph Kagoma kiungo wa Simba SC ameonyeshwa kadi mbili za njano na kuonyeshwa kadi nyekundu dakika ya 50.

    Mapumziko.

    Simba SC 1-1 RS Berkane, (Agregate 1-3)

    Dakika ya 41 Joshua Mutale anachezewa faulo na Ayoub wa RS Berkane ambaye anaonyeshwa kadi ya njano.

    Fadlu Davids Kocha Mkuu wa Simba SC na Seleman Matola, kocha msaidizi wa Simba SC, Shomari Kapombe beki wa Simba SC wameonyeshwa kadi kila mmoja ya njano dakika ya 35.

    Dakika ya 30 Jean Ahoua anaipiga kona ya pili kwa Simba SC.

    Dakika ya 22 Shomari Kapombe jaribio lake akiwa ndani ya 18 linakwenda nje ya lango.

    Joshua Mutale anafunga bao kwa Simba SC dakika ya 15 kwa mguu wa kushoto akimalizia pasi ya Ellie Mpanzu.

    Dakika 1o Joshua Mutale anapiga pasi ndefu kuelekea lango la RS Berkane inadakwa na kipa

    Dakika ya 9 Yusuph Kagoma alicheza faulo kwa mchezaji wa RS Berkane

    Fainali ya pili Kombe la Shirikisho Afrika.

    SIMBA SC ya Tanzania ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya RS Berkane kwenye mchezo wa fainali Mei 25 2025, kwenye mchezo wa kwanza Mei 17 ubao ulisoma RS Berkane 2-0 Simba SC.

    Simba SC ina kazi kusaka ushindi wa mabao 3-0 ili kutwaa taji hilo ambalo lipo kwenye ardhi ya Tanzania.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleKATIKA ARDHI YA TANZANIA MNYAMA SIMBA, HAJAWAHI SHINDWA KITU
    Next Article XABI ALONSO RASMI ATAMBULISHWA KUWA KOCHA MKUU WA REAL MADRID

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.