Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป SIMBA KUMSHUSHA BEKI WA MAMELODI SUNDOWNS RUSHINE DE REUCK
    KITAIFA

    SIMBA KUMSHUSHA BEKI WA MAMELODI SUNDOWNS RUSHINE DE REUCK

    By AdminJuly 25, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    simba
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Klabu ya Simba inatajwa kumalizana na beki wa kati wa klabu ya Mamelodi Sundowns aliyekuwa anakipiga kwa mkopo Maccabi Petah Tikva ya ligi kuu ya Israel Rushine De Reuck mwenye umri wa miaka 29.

    Tetesi zinasema nyota huyo anajiunga na wekundu wa msimbazi Simba kwa mkopo wa mwaka mmoja baada ya mkopo wake ndani ya Maccabi kutamatika.

    Nyota huyo aliyecheza mechi 4 pekee katika ligi kuu ya Israel kutokana na machafuko yaliyokuwa yanaendelea Nchini humo taarifa zinasema kuwa na chaguo la kocha Fadlu kwa ajili ya kuimarisha safu yake ya ulinzi.

    Rushine ambaye ni raia wa Afrika Kusini ameshawahi kutwaa tuzo ya beki bora wa ligi kuu ya Afrika Kusini kabla ya kujiunga na klabu ya Mamelodi Sundowns.

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleFRIJI LA AHMED ALLY LIMEGOMA KUGANDISHA, JONATHAN SOWAH NI MNYAMA
    Next Article MAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMAMOSI TAREHE 26-7-2025

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.