Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » SIMBA INA MECHI NGUMU SANA KWENYE LIGI KULIKO YANGA
    KITAIFA

    SIMBA INA MECHI NGUMU SANA KWENYE LIGI KULIKO YANGA

    By AdminSeptember 2, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Mchambuzi wa soka @mzeewajambia ameandika ujumbe kuhusu kauli ya Kocha Mkuu wa Simba aliyoisema hivi karibuni ya kumuhitaji mchezaji mwingine kwenye eneo lake la ushambuliaji.

    “Juzi Fadlu Davids aliposema anahitaji xfactor Player mmoja ili Kikosi chake Kikamilike nafikiri hakueleweka Vizuri.

    Manake watu walianza Kusema Mbona ana Neo Maema,Elie Mpanzu na Bajaber? Ahoua?

    Lakini Fadlu anafahamu Vigezo vya sasa hivi ili uwe bingwa wa Ligi Kuu unahitaji Kuwa na Kikosi bora zaidi Kuliko Yanga Africa.

    Yani Kikosi chako Kikiwa sawa na au chini ya Yanga Africa ujue huna chako hapo.

    Kwasababu ni Ukweli Usiopingika Kwamba Kwenye Ligi Simba Sports anacheza Mechi nyingi ngumu Kuliko Yanga Africa”Ameandika @mzeewajambia .

    Simba SC Yanga SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMOURINHO AINGIZA BILIONI 300 KWA KUFUKIZWA
    Next Article HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 3 2025

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.